Wednesday, May 30, 2012

Serekali yamkabidhi 
mill 10 !
Mama yake Kanumba.
Ashukuru serikali kwa mchango wao.
Vijana wa Dtv wakifanya kazi
Azungumzia sakata la mwanae
 kuhusishwa na FEEMASON

Mama machachali ninae mkubali 
na yeye alikuwepo kukava stor
 kutoka Uhuru FM. Mwite Mama Abduly 
Mama aka Mama upatu
 kijumbe Tanzania nzima.

Msikilize kesho Uhuru Fm 
Mama Abduly Atafunguka.

Kipindi kinaitwa KAPU 
kuanzia 3:00 mpaka saa 12:00 mchana.
na kwa Habari zaidi fatilia kipindi cha 
Tv TAGZWEEKLY
 on Dtv juma mosi 3:00 usiku 
na marudio yake ni juma pili
 1:00 usiku umuone mama mzazi
 akifunguka kuhusu Mtoto wake kipenzi.
Natasha aka Mama Monalisa alikuwepo.

No comments:

Post a Comment