Thursday, May 31, 2012

Mpya kutoka Twitter!
“Round 2: Me and @50Cent getting
 it on over some stacks..,”
 Floyd aliandika maelezo hayo kwenye
 picha hiyo kwenye ukurasa wake wa 
Twitter Bingwa huyo wa welterweight
 aliyemshinda Miguel Cotto mwezi huu,
Inasemekana
kuwa sababu
 ya ugomvi huo ni kutokana na
 50 kudaiwa $10,000 na Floyd. 

No comments:

Post a Comment