Wednesday, October 23, 2013

Matonya anasema huo ni utata msikilize hapa.


Matonya ameachia ngoma mpya ambapo umondani anasikika akizungumzia mambo ya wanafunzi akisema  wanfunzi bize facebook huku twitter kule Instagram "huo niutata" matokeo yakifika ndipo wanajuta alaumiwe nani "huo ni utata", pia anasikika akizungumzia mapenzi na maisha na kiitikio chake anasema huo ni utataa!  usikilize hapa.


No comments:

Post a Comment