Kwenda India jumapili
au
jumatatu ijayo.
Wastara ambae ni Mke wa Sajuki,
amesema imefikia hatua ambayo
ni nzuri na wanaweza kuondoka
kwenda India japo pesa haijafikia yote
.Pesa iliyokua inatakiwa ni milioni 25
lakini iliyopatikana ni milioni
16
lakini tayari itawawezesha kusafiri
kwenda India jumapili au jumatatu ijayo
kwa sababu pesa nyingine bado zinaendelea kukusanywa.Wataondoka yeye,
Sajuki pamoja na kaka wa Sajuki
na watakaa India kwa wiki mbili
lakini kama kutakua na mabadiliko
yeyote atasema.

No comments:
Post a Comment