Dakika 90 Ally Kiba
atajuwa
naniali divert sim yake.
Tuuma zilizo kuwa zikimuusisha
msanii kutoka TMK Richi one ku-divert
simu ya Ally Kiba na kudaiwa
kuchukua pesa za showz pamoja na
kuomba
watu pesa akijifanya ni
Ally Kiba, tuhuma ambazo alizikataa
japo
alikubali kwamba alilazwa polisi
kwa sababu ya hizo tuhuma, Rich
amefunguka na kusema
kwamba kwenye dakika
90 Ally
Kiba mwenyewe atajua ukweli na atakuja kuniomba radhi kwa hayo mambo
aliyoongea, sina matatizo nae kwa sababu
hata ningekua mimi ningepanic
pia
kutokana na kwamba namba yangu ilifanya mawasiliano na Ally Kiba”

No comments:
Post a Comment