Friday, August 2, 2013

Buibui aongea na DTV.

Najua watu wangu wanajiuliza nipo wapi na nafanya nini, sasa nipo kwenye maandalizi ya video yangu mpya na tupo pamoja kwa wote mnaoendelea kunisaport tuka zamani. Mziki mzuli unakuja sasa.

No comments:

Post a Comment