Mchana huu ndo safari ya mwisho ya
ndugu yetu JUMA KILOWOKO
inakamilika na sasa safari ya kuelekea
msikitini maeneo ya faya kkoo kwaajili
ya maombi juu yake na baada ya hapo ni
safari ya kuelekea mahali palipoandaliwa
kwaajili ya kuifadhi mwili wake makabuli ya kisutu.


No comments:
Post a Comment