Sunday, October 21, 2012

MAKOMANDO WA THT SAFARI YAO.
Makomando imeanzishwa chini ya maneger maximiliani  lioba
 mwaka 2010 ndani ya recod lebo ya Authentic Studio
 kundi hili linaudwa na membar wa nne wakiwepo 
wengine wakitokea KIGOMA all star 
FRED WAYNE NA MUCKY na wengine ni
 B.BOY NDENGA, FLOW MAST, nandipo ilipo 
zaliwa truck yakwanza Pop ya koll aliyoshirikiswa Young D.
Kutokana na uwezo mkubwa wa kutunga nyimbo zenye
 isia kali na ku Dance vizuri Makomando walijizolea
 umaharufu mkuwa na mashabiki wengi wa kila lika.
Baada ya wimbo wakwanza kufanya vizuri Makomando
 waliamua kuachia wimbo wao wapili ulio tambulika kama 
MAKOMANDO.
Inafahamika kuwa Makomando wametokea kwenye kitovu cha THT,
Makomando ndiyo wasanii wakwanza wa Bongo Fleva 
walioanzisha Styel ya uchezaji inayo fahamika kama
 Kibega na ndipo wakaamua kuachia wimbo wao 
watatu unaofahamika sana na ulipendwa na kupendwa 
mpaka sasa unaoitwa SIMAMA.
Wimbo huu wa Simama ulitolewa chini ya uongozi wa THT
 ndani ya SORRAUND STUDIO.
Kutokana na kazi nzuri za makomando watu wengi
 waliomba kundi ili litamburishe wimbo wao mpya
 ndipo uongozi wa kundi ulipo amua kuachia wimbo
 mpya wa nne unaofanya vizuri kwasasa na unatambulika
 kwajina la KIBEGA wamemshirikisha Dully Sykes.








No comments:

Post a Comment