Pole mzee. ila this time
karudishwa kwake
kwamapumziko zaidi.
#################
"Dah nilikuwa nakohoa sana ikasababisha
hadi homa, leo nikaamka nimezidiwa
sana mwanangu ndo wakanilaza
na ikabidi nifanyiwe vipimo vikubwa.
ndio wakanicheki moyo labda unatatizo,
wakanicheki TB na damu pamoja na
maradhi mengine wakaona niko poa.
Wamesema nilifanya
show kwa mda mrefu so nikawa na
experience hali ya hewa ya sehemu
tofauti tofauti mara kwa mara
sometimes vijijini so hali ya hewa
vumbi pia imezingua"
##################
#################
"Dah nilikuwa nakohoa sana ikasababisha
hadi homa, leo nikaamka nimezidiwa
sana mwanangu ndo wakanilaza
na ikabidi nifanyiwe vipimo vikubwa.
ndio wakanicheki moyo labda unatatizo,
wakanicheki TB na damu pamoja na
maradhi mengine wakaona niko poa.
Wamesema nilifanya
show kwa mda mrefu so nikawa na
experience hali ya hewa ya sehemu
tofauti tofauti mara kwa mara
sometimes vijijini so hali ya hewa
vumbi pia imezingua"
##################




No comments:
Post a Comment