Mimi ni kati ya watu ninae umia
sana nikijuwa kuwa unapata shida
kwaajili ya kuokoa jamii yako au kuokoa
maisha yako. Nampenda mwana HARAKATI
yeyote yule na nitamsapot bila ya
kuangalia yeye ni nani coz nilipotoka
ni mbali mpaka hapa nilipo.
Pole Young Dee,
ulilia ukikumbuka ulipo toka safi,
Mungu mkubwa.
nasababu ya kuposti hii
angalia.
6#6#6
Mara nyingine vitu vingine
zinaniliza nikikumbuka,
na haya maneno maneno ya watu
ila najitia nguvu najuwa iposiku itafika,
kukosakitu leo kwangu sio tatizo.
Mara nyingine vitu vingine
zinaniliza nikikumbuka,
na haya maneno maneno ya watu
ila najitia nguvu najuwa iposiku itafika,
kukosakitu leo kwangu sio tatizo.
No comments:
Post a Comment