Mastar wawili
wa
kibongo
waibiwa ndinga!
Dogo Hamidu!
ezi za gari yake.
Rapper
26 or call him Dogo Hamidu/
Nyandu Toz,
ameibiwa
Gari yake aina ya
Vits
ya mwaka 2002 Rangi ya Silver, plate
namba P698 BUH,
ndinga hilo limeibiwa
maeneo ya mwana nyamala katika parking
maalum ya
magari, ambapo wezi walifanikiwa
kuondoka na gari nne kwa mpigo
kutoka
kwenye Parking hiyo likiwemo gari la
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa
Taarabu Khadija Omar Kopa,
walinzi
wa nne wa Parking hawajulikani walipo,
Nyandu Toz anasema ni
sehemu ambayo
amezoea kuegesha gari lake kila siku
ila anashangaa wezi
kuigeuza show room
parking hiyo ya magari.

No comments:
Post a Comment