Wednesday, May 16, 2012

LINEX SUNDAY 
MJEDA!
Namshukuru Mungu mama angu baada
 ya kung'atwa 
na mbwa afu mkoa mzima wa 
kigoma ukawa hauna 
dawa tukalazimika
 kumsafirisha kwenda
mwanza
 hatimae amemaliza dozi
 na yuko poa kafika jana Kigoma
 pamoja nakua Mama angu 
 amepona but stl iyo dawa na huduma 
nyingine muhim ambazo
 hazipatikani Naomba wahusika
 waliangalie hilo kwa Mkoa
 nnao upenda nnao uwakilisha nnapo zaliwa 
mm SUNDAY MANGU aksanteni

No comments:

Post a Comment