Tuesday, May 1, 2012

Ally Kiba wabandia akamatwa
RICH ONE
Aliyewahi kuwa member wa kundi la TMK Wanaume Halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la
kutumia jina la Ali Kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali.
Msanii huyo anadaiwa ku-divert simu zinazopigwa kwa namba ya Ali Kiba na kuzipeleka katika simu yake, baada ya hapo anakubaliana na mapromota kufanya show na kupokea advance kwa kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya show promota anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutokumuona Ali Kiba.

No comments:

Post a Comment