Cheki na Video hii ambayo imejaa utata mkubwa sana
baada ya Suma Mnazalet kutaka kulipwa laki 2 kwa clip alizo piga.. kwa mujibu wa Stamina nikwamba
alikubaliana na Mnazaleti kushut Video hii bure, na Video hiyo kabla aijakamilika ikiwa imebaki picha chache za kumalizia Stamina animpigia sim Mnazalet na kutaka waache kushut then Stamina afanye kazi ya kumalizia na kampuni nyingine ambayo ni Showbiz lakini kwa mujibu wa Mnazalet walikubaliana kwamba endepo atahacha kufanya nae hiyo Video basi
amlipe fidia ya laki mbili kwakuwa. sasa kuna bonge la utata kati yao.
No comments:
Post a Comment