Monday, April 23, 2012

LULU MAHAKAMANI
 KWA MARA YA PILI.

Wakili wa upande wa serekali 

ELIZABETH KAGANDA

hakizungumza mahakamani hapo amedai Upepelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kwamba itatajwa tena mei 7 mwaka huu.

ELIZABETH MICHAEL kupandishwa Kizimbani kwa kosa la mauaji Marehemu Steven Kanumba ni mara ya pili sasa. 

No comments:

Post a Comment