Shetta anakuja na kichupa kipya.
Rais
wa Dastamina Shetta sasa yupo katika mchakato wa
kushoot video ya wimbo wake mpya unaoitwa Nidanganye
amemshirikisha Diamond. Shetta amesema siku si nyingi
utengenezaji wa video hiyo utaanza na anawatafuta warembo wazuri
ambao hawajawahi kuonekana kwenye video ya msanii yoyote hapa bongo.
No comments:
Post a Comment