Ndoani Black Rhyno
Vikao vya harusi
yake ambayo anatarajia kufunga ndoa mwezi June tarehe 30 mwaka huu.
Rhyno ambaye anaonekana pichani akiwa na Mkewe Khadija Beatrice Mmbaga.
Mbali
na.......vikao hivyo vya harusi vikiendelea Rhyno anatarajia kushoot video ya
wimbo wake mpya unaoitwa TAKING OVA ambao unafanya vizuri kwa sasa
katika radio station mbali mbali so anatafuta wadada warembo ambao
wanaweza kuwepo katika video hiyo na kuifanya kuwa ya matawi ya juu
kabisa. Kama unahitaji na upo kwenye mtandao wa jamii facebook unaweza
kumtext anatumia jina la Black Rhyno

No comments:
Post a Comment