Tuesday, March 13, 2012


KUAZIA JANA NILIMVUA U SPTAN LINEX ATOKE ZAKE!!
Baba levo

Jana wakati tupo kwenye video ya mdogo wetu wa kigoma HUSEIN LUBIBI. kamdharau kamnyanyapaaa na kisha kuondoka bila kufanya clip hata moja wakati tulienda pale kumsapot ndugu yetu. so kuanzia jana nilimvua U SPTAN linex atoke zake!!

Linex Sande Mjeda


Msikilize Linex akiongea kuhusu kesi hii.

 

Baba levo


Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sili imefichuka.......
So ile ishu inayo muhusisha LINEX na BABA LEVO,
Baba levo kaamua kufunguka msikilize on XXL .. tatu kali


No comments:

Post a Comment